Friday, February 21, 2014

UJENZI WA BWENI LA WAVULANA WAZIDI KUPAMBA MOTO KATIKA SHULE YETU KWA USIMAMIZI WA MKUU WA SHULE NA KAMATI YA UJENZI

Bweni la wavulana kwa muonekano wa mbele


Muonekano wa Korido

Muonekano wa nyuma wa bweni la wavulana

Bweni likisubiri hatua ya kupauliwa hivi karibuni

Bweni likionekana kwa mbali

Sehemu ya bafu na choo nayo ipo hatua ya mwisho

Milango ya vyoo na bafu vya bweni hili


Usingizi ni muhimu kwa wanafunzi wetu na hapa ndio pa kujidaiaaaaaa

Tunawashukuru wafadhili na wazazi kwa ushirikiano wanaouonyesha kwa wanafunzi wetu, Nyerere sekondari inawapenda sana


No comments:

Post a Comment

Designed by: Hatibu Juma, Email: hatibu.jayjay@gmail.com, Cell phone: +255 755 638 028.