Mwanafunzi aliyeongoza kwa ufaulu kwa mwaka 2013 akiwa kidato cha kwanza akipata zawadi zake kutoka kwa mkuu wa shule. |
Zoezi la ugawaji wa zawadi wafaulu likiendelea kutoka kwa mkuu wa shule na ofisi ya taaluma. |
Wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2013 walioongoza kwenye ufaulu wa masomo yao wakiwa wamekumbatia zawadi zao. |
Wanafunzi wa kidato cha pili nao hawakuwa nyuma katika kujipatia zawadi zao baada ya kufanya vizuri ktk mtihani taifa wa kidato cha pili mwaka 2013. |
Kazi ya ugawaji zawadi ikiendelea kwa wanafunzi wa kidato cha pili. |
Waliofanya vizuri katka masomo mbalimbali katika mtihani wa taifa wa kidato cha pili wakiwa na zawadi zao. |
Kidato cha tatu mwaka 2013 nao hawakubaki nyuma katika upokeaji wa zawadi baada ya kufanya vizuri. |
Hongera sana ndilo neno lililotawala kwa wanafunzi hawa huku wakifurahia zawadi zao. |
Wanafunzi wa kike walikuwa vinara kaitka ufaulu hasa kwa kidato cha tatu mwaka 2013, Wakiwezeshwa kweli wanaweza. |
Pia wanafunzi wa kidato cha tano hawakuwa mbali katika kuzipokea zawadi hizo ambazo zimeonge hari ya wanafunzi kujisomea kwa bidii katika masomo yao. |
Pongezi kutoka walimu wao wa masomo inatia hamasa kubwa kwa walimu na wanafunzi pia. |
"Ahsante mkuu nitaongeza juhudi zaidi" ni neo la mwanafunzi mara baada ya kuwa mmoja wa wafaulu, kweli ni raha tupu ukiwa Nyerere High School - Migoli. |
No comments:
Post a Comment