Thursday, July 2, 2015

KARIBUNI NYERERE HIGH SCHOOL WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO 2015/2016

Habari,
Uongozi wa shule ya Nyerere High school unapenda kuwakaribisha wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano kwa mwaka wa masomo 2015/2016.
Pia tunapenda kuwajulisha kuwa fomu ya maelezo ya kujiunga inapatikana kwenye blog yetu kwenye ubao wa matangazo (ANNOUNCEMENT)
Kama unatumia simu inabidi ufungue blog yetu kisha ushuke chini kwenye ukurasa wa blog hiyo ubadili mtazamo toka wa simu kuwa wa kompyuta kwa kufungua ''view web version''
KARIBUNI SANA NYERERE HIGH SCHOOL - MIGOLI MPATE ELIMU BORA.

Wednesday, January 7, 2015

UONGOZI WA SHULE YA NYERERE HIGH SCHOOL UNAPENDA KUOMBA RADHI KWA KUTOKUWA HEWANI KATIKA BLOG YETU KWA KIPINDI CHA MWISHO WA MWAKA 2014 KUTOKANA NA MATATIZO YA KIUFUNDI. KWA SASA TUTAKUWA HEWANI KAMA KAWAIDA.
TUNAWATAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2015.
Designed by: Hatibu Juma, Email: hatibu.jayjay@gmail.com, Cell phone: +255 755 638 028.