Monday, June 27, 2016

KIDATO CHA TANO MWAKA 2016

Habari, Uongozi wa shule ya Nyerere High School unapenda kuwakaribisha wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano 2016/2017. Pia tunapenda kuwajulisha kuwa fomu yetu ya joining inapatikana pia kwenye blog yetu sehemu ya ubao wa matangazo. Karibuni sana Nyerere High School.

Tuesday, April 12, 2016

HABARI, 
SHULE YA NYERERE HIGH SCHOOL INATARAJIA KURUDI TENA KATIKA BLOG YAKE HIVI KARIBUNI POLENI KWA USUMBUFU WA KUTUKOSA HEWANI, AHSANTE
Designed by: Hatibu Juma, Email: hatibu.jayjay@gmail.com, Cell phone: +255 755 638 028.