Monday, June 27, 2016
KIDATO CHA TANO MWAKA 2016
Habari, Uongozi wa shule ya Nyerere High School unapenda kuwakaribisha wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano 2016/2017. Pia tunapenda kuwajulisha kuwa fomu yetu ya joining inapatikana pia kwenye blog yetu sehemu ya ubao wa matangazo. Karibuni sana Nyerere High School.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Designed by: Hatibu Juma, Email: hatibu.jayjay@gmail.com, Cell phone: +255 755 638 028.