Thursday, January 16, 2014

ZOEZI LA UPANDAJI MITI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA SHULENI

Mkuu wa shule Akiongoza Zoezi la upandaji Miti shuleni.

Wanafunzi wakijituma kupanda Miti

 Kazi ikiendelea...



Wakimwagilia Miche.

Mwalimu wa mazingira  naye hayuko nyuma..


Wanafunzi wakiwa na zana zao.


Umoja ni nguvu.


Mche ukimwagiliwa kwa Maji ya kutosha kabisa...

Hakika hakuna mche utakao nyauka.






No comments:

Post a Comment

Designed by: Hatibu Juma, Email: hatibu.jayjay@gmail.com, Cell phone: +255 755 638 028.